#International

SIKU YA CLUB FOOT DUNIANI

Washikadau katika sekta ya afya wametakiwa kuhakikisha kwamba watoto wanaougua ugonjwa wa kiguu yaani Klub Foot wanapata tiba ya mapema kenya imeungana na mataifa mengine kuadhimisha siku ya klub foot duniani hii leo Akihutubu katika hafla ya maadhimisho hayo kaunti ya homabay mshirikishi wa matibabu ya ugonjwa huo amesema ni vyema wazazi kutafuta tiba mapema.

Imetayarishwa na Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *