19 WAACHILIWA NA MAHAKAMA YA OLKALOU
Washukiwa 19 waliohusishwa na vurugu wakati wa maandamano ya Juni 25 huko Nyandarua wameachiliwa kwa bondi na mahakama ya Olkalou.
Hakimu Judicaster Nthuku aliagiza kuachiliwa kwao kwa bondi ya shilingi laki moja kila mmoja akisema upande wa mashtaka haujatoa sababu za kutosha kutaka waendelee kuzuiliwa.
Imetayarishwa na maureen amwai
English 
















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































