#Local News

MUSYOKA: MNATUIBIA KUPITIA BAJETI

Kinara wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka ameshutumu makadirio ya jeti ya mwaka 2024-2025 yaliyowasilishwa hapo jana na waziri wa fedha Njuguna Ndung’u, akitaja mianya ya ufujaji wa fedha za umma.

Katika kikao na wanahabari jijini Nairobi, Kalonzo akiwaongoza viongozi wa Azimio amesema serikali inalenga kufuja kima cha shilingi trilioni moja kupitia mgao wa bajeti hiyo.

Aidha, Musyoka ameshutumu mapendekezo ya juu ya ushuru yanayopndekezwa kwenye makadirio hayo, akisema yatalemaza shughuli za biashara.

Imetayarishwa na Antony nyongesa

MUSYOKA: MNATUIBIA KUPITIA BAJETI

WAKENYA WAPUMUA MIKONONI MWA EPRA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *