#Local News

RAIS AJIUZULU KUTOKA WADHIFA ALIOPEWA

Azma ya serikali kuwafidia waathiriwa wa maandamano imepata pigo jingine baada ya Rais wa chama cha wanasheria LSK Faith Odhiambo kujiuzulu kutoka wadhifa wa makamu wa mwenyekiti wa jopokazi lililoteuliwa kuongoza juhudi hizo.

Kwenye waraka wake, Odhiambo ametaja shughuli zilizokwama kutokana na amri ya mahakama huku akisisitiza haja ya marekebisho mapanma ya haki.

Ameongeza kuwa kutokana na shughuli kusimamishwa na mahakama, hakuona haja ya kuendelea kuhudumu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAIS AJIUZULU KUTOKA WADHIFA ALIOPEWA

STARS MBIONI KUREJESHA NYOTA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *