#Local News

BUNGE LAKUTANA KUIDHINISHA KUTUMWA KWA KDF

Bunge la Kitaifa limeandaa kikao maalum kuidhinisha ombi la Baraza la Ulinzi la kupeleka Jeshi la Ulinzi la Kenya (KDF) huku kukiwa na maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha kote nchini.

Kulingana na Waraka wa Amri ya Ziada iliyopangwa leo, hatua hiyo itaambatana na Kifungu cha 241 cha Katiba kinachohitaji kuidhinishwa na Bunge kabla ya kutumwa kwa KDF kupitishwa.

Hoja hiyo ilipelekwa Bungeni baada ya ombi kutolewa na Baraza la Ulinzi siku hii leo.

Imetayarishwa Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *