MVULANA WA MIKA 17 ATUMBUKIA MTO KIMININI
Wakaazi wa eneo la Birunda kaunti ya Transnzoia wanaendelea kuusaka mwili wa mvulana wa miaka 17 aliyetumbukia katika mto Kiminini.
Wakaazi hao wametoa wito kwa shirika la msalaba mwekundu kushirikiana na serikali ya kaunti na kuwatuma wapiga mbiziwenye uzoefu ili kuharakisha shughuli hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 

























































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































