#Local News

MVULANA WA MIKA 17 ATUMBUKIA MTO KIMININI

Wakaazi wa eneo la Birunda kaunti ya Transnzoia wanaendelea kuusaka mwili wa mvulana wa miaka 17 aliyetumbukia katika mto Kiminini.

Wakaazi hao wametoa wito kwa shirika la msalaba mwekundu kushirikiana na serikali ya kaunti na kuwatuma wapiga mbiziwenye uzoefu ili kuharakisha shughuli hiyo.

Imetayarishwa na Janice Marete

MVULANA WA MIKA 17 ATUMBUKIA MTO KIMININI

MANCHESTA UNITED WAMSAJILI MANUEL UGARTE

MVULANA WA MIKA 17 ATUMBUKIA MTO KIMININI

MUUNGANO WA WANAFUNZI WA AFRIKA MASHARIKI WAUNGA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *