#Local News

RUTO: NITAREJELEA ZIARA YANGU UKAMBANI

Rais William Ruto ametoa wito kwa wakazi wa eneo la Ukambani kujiepusha na siasa za migawanyiko, akiwahimiza kushirikiana na serikali yake ili kufanikisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo eneo hilo.

Rais alikuwa akizungumza hapo jana wakati wa maadhimisho ya sherehe za Mashujaa, akiahidi kukamilisha miradi yote ya maendeleo ikiwemo maji, barabara na kilimo.

Rais ameahidi kurejelea ziara yake aliyoifutilia mbali wiki jana.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RUTO: NITAREJELEA ZIARA YANGU UKAMBANI

ODM YAMWITA RUTO AREJEE NYUMBANI 

RUTO: NITAREJELEA ZIARA YANGU UKAMBANI

MWENYEJI WA FAINALI ZA RAGA YA WANAWAKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *