#Local News

MGOMO WA WAUGUZI KUWAKUMBA WAGONJWA

Wagonjwa wanaotegemea huduma za wauguzi huenda wakaathirika kuanzia Aprili Mosi mwaka huu kutokana na mgomo wa wauguzi.

Muungano wa wauguzi, ukiongozwa na mwenyekiti Seth Panyako, umesema kuwa mgomo huo unatokana na mikataba duni ya ajira inayowaathiri wauguzi.

Imetayarishwa na Janice Marete

MGOMO WA WAUGUZI KUWAKUMBA WAGONJWA

JUNIOR STARLETS YAICHAPA UGANDA 3-0

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *