WAFANYIKAZI WA ANGANI WAGOMA WAKIPINGA MPANGO WA ADANI
Usafiri wa angani umetatizika baada ya wafanyikazi wa uwanja wa ndege wa JKIA kuanza rasmi mgomo wao.
Kwa sasa hakuna ndege zinazopaa wala kutua katika uwanja wa JKIA.
Wafanyikazi hao wamegoma kufuatia hatua ya serikali ya kutaka kukondisha uwanja wa kimataifa wa JKIA kwa kampuni ya india Adani Holdings.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































