#Local News

NANI KAMUUA HASSAN?

Meneja wa duka moja kuu mjini Naivasha Hassan Salim ameuliwa ,mwili wake umepatikana nyumbani kwake ukiwa umeloa damu.


Kwa mujibu wa polisi mwendazake alionekana mara ya mwisho jumanne usiku alipokuwa akitoka kazini
Mwili wake ulikuwa na majeraha ya kukatwa umepelekwa katika hifadhi ya mahiti ukisubiri kufanyiwa upasuaji.

Imetayarishwa na: Janice Marete

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *