#Local News

WAKAZI WEBUYE ‘HAWATAKI’ TRELA

Wakaazi wa eneobunge la webuye magharibi wanataka serikali kupiga marufuku trela za kusafirisha mizigo dhidi ya kutumia barabara ya Bokoli hadi matisi, wakisema malori hayo yamechangia kuharibika kwa barabara hiyo mbali na kuhatarisha maisha yao.

Wakiongozwa Edward Kimakwa, wamesema barabara hiyo ni ndogo kwa trela hizo, wakidai zimechangia kwa visa vya ajali.

Aidha, wameibua hofu ya kupata maradhi kutokana na vumbi. 

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKAZI WEBUYE ‘HAWATAKI’ TRELA

MATOKEO YA DIMBA LA KLABU BINGWA BARANI

WAKAZI WEBUYE ‘HAWATAKI’ TRELA

SERIKALI KUSAKA SULUHU KWA ‘CHOKORAA’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *