#Local News

HUENDA MAGAVANA WANAFUJA FEDHA ZA UMMA; SENETA OLEKINA

Seneta wa kaunti ya Narok Ledama Olekina ametaka ukaguzi wa ada ya kisheria kufanyw katika serikali zote za kaunti.

Kauli ya olekina inajiri baada ya baadhi ya magavana kukosa kufika mbele ya kamati ya bunge la seneti kufafanua matumizi ya fedha katika kaunti zao na badala yake kuwatuma mawakili wao kuwawakilisha.

Kwa mujibu wa Olekina huenda magavana hao wanatumia fedha za umma kuwalipa mawakili wao kinyume na sheria.

Imetayarishwa na Janice Marete

HUENDA MAGAVANA WANAFUJA FEDHA ZA UMMA; SENETA OLEKINA

MABALOZI WA MATAIFA WAWASILI KATIKA IKULU YA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *