WABUNGE KUCHUKUA MDA ZAIDI KUJADILI MSWADA WA FEDHA
Mjadala kuhusu mswada wa fedha wa mwaka 2024 unatarajiwa kuanza rasmi hii leo.
Mswada huo umewasilishwa katika bunge la kitaifa wakati ambapo spika wa bunge la kitaifa Moses Masika Wetangula amewataka wabunge wawe wavumilivu kwani vikao vya leo huenda vikadumu kwa muda murefu zaidi.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































