#Local News

WABUNGE WASIMAMA NA NG-CDF

Hazina ya kustawisha maeneo bunge NG-CDF haitaondolewa kutokana na mchango wake hasa kwa masomo ya watoto wanaotoka familia zisizojiweza.

Haya ni kwa mujibu wa wabunge wakiongozwa na spika Moses Wetang’ula, wakizungumza kwenye warsha ya bunge hilo inayoendelea katika kaunti ya Mombasa.

Wameapa kuitetea hazina hiyo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WABUNGE WASIMAMA NA NG-CDF

LYLES ABWAGWA

WABUNGE WASIMAMA NA NG-CDF

PSC KUWAHOJI WANACHAMA WA SRC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *