#Local News

SENETA CHERARGEI ATAKA KUONDOLEWA AFISINI MURKOMEN

Seneta wa Nandi Samson Cherargei anataka kuondolewa afisini kwa waziri wa usalama Kipchumba Murkomen akidai kuwa amefeli katika majukumu yake.

Cherargei badala yake anapendekeza nafasi hiyo kurejeshewa naibu wa rais Kithure Kindiki anayesema alipohudumu katika wizara hiyo visa vya uhalifu vilipungua.

Imetayarishwa na Maureen Amakhobe

SENETA CHERARGEI ATAKA KUONDOLEWA AFISINI MURKOMEN

MASWALI KUHUSU KIFO CHA OJWANG’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *