#Local News

GAVANA MWADIME KUFUFUA UFUGAJI

Gavana wa kaunti ya Taita Taveta Andrew Mwadime ameeleza matumaini katika kufufua sekta ya kilimo na ufugaji

Lengo kuu la hatua hiyo kulingana na mwadime ni kuongeza mapato zaidi kwa wakulima  na wafugaji wa kaunti hiyo na kwamba serikali yake imejitolea kupiga jeki sekta hiyo

Mwadime aidha amesema serikali yake imetia Saini mkataba na mwekezaji akakayekamilisha ujenzi wa kiwanda cha ndizi mjini Taveta na kwamba wameshirikiana na baadhi ya nchi za mashariki ya kati ambapo wafugaji watapata fursa ya kuwauza mifugo wao 

Imetayarishwa na Janice Marete

GAVANA MWADIME KUFUFUA UFUGAJI

KRA YAHAMASISHA WAKAAZI WA MKOA WA PWANI

GAVANA MWADIME KUFUFUA UFUGAJI

MBUNGE KANGOMBE AKANUSHA MAUAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *