#Local News

JAMII YATAKIWA KUKOMESHA DHULUMA ZA KIJINSIA

Dhuluma za kijinsia zimeendelea kuwa donda sugu ulimwenguni kote huku wito ukitolewa kwa jamii katika siku 16 za kampeni ya kukomesha dhuluma hizo.

Kwa mujibu wa ripoti ya umoja wa mataifa UN, wanawake na wasichana 140 huuawa kila siku na wapenzi au watu walio karibu nao.

Wakizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo, wanaharakati nchini wameitaka serikali kutilia mkazo sheria zinazohusiana na dhuluma za kijinsia.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JAMII YATAKIWA KUKOMESHA DHULUMA ZA KIJINSIA

MRADI WA UMEME WAZINDULIWA BUNGOMA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *