#Local News

AUC: WANAWAKE ODM WAMWOMBEA ODINGA

Huku uchaguzi wa mwenyekiti wa tume ya umoja wa Afrika AUC ukikaribia, viongozi wanawake katika chama cha ODM wameandaa hafla ya maombi kwa ajili ya mwaniaji wa wadhifa huo Raila Odinga ambaye pia anahudhuria hafla hiyo.

Uchaguzi huo utaandaliwa baadaye mwezi huu katika makao makuu ya Muungano wa Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa Ethiopia, Odinga akimenyana na Richard Randriamandrato wa Madagascar na Mahamoud Ali Youssouf kutoka Djibout.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

AUC: WANAWAKE ODM WAMWOMBEA ODINGA

USAID: WAFANYAKAZI KAJIADO KUPEWA AJIRA MPYA

AUC: WANAWAKE ODM WAMWOMBEA ODINGA

JUHUDI ZA SADC, EAC KUREJESHA UTULIVU DRC

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *