#Local News

ONG’ONDO: MFANYABIASHARA KUHOJIWA NA DCI

Maafisa wa idara ya upelelezi DCI wanatarajiwa kumhoji mwanasiasa na mfanyabiashara wa kaunti ya Homa Bay Philip Nahason Aroko aliyewekwa korokoroni baada ya kuagizwa afike katika kituo chochote cha polisi kwa tuhuma za kuhusika kwenye mauaji ya aliyekuwa mbunge wa Kasipul Ong’ondo Were.

Nahashon aliyejisalimisha katika makao makuu makuu ya DCI usiku wa kuamkia leo, amedai kwamba polisi wameshinikizwa na gavana wa Homa Bay Gladys Wanga kumwagiza ajisalimishe.

Hata hivyo, mfanyabiashara huyo amesema yuko tayari kushirikiana na polisi kwenye uchunguzi huo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *