#Local News

RAILA ANGALI MCHEZONI, ODM

Katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna amekariri kwamba kiongozi wa chama hicho Raila Odinga hajastaafu kutoka ulingo wa siasa, akipuuzilia mbali taarifa zilizodai kwamba Odinga amestaafu.

Kupitia taarifa, sifuna amezitaja habari hizo kuwa zenye nia mbaya na zenye nia ya kuwavunja mioyo wafuasi wa ODM.

Aidha, amewataka wafuasi kuzipuuza taarifa hizo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

RAILA ANGALI MCHEZONI, ODM

WANAHARAKATI WATAKA ZOEZI LA UFUKUZI WA MIILI

RAILA ANGALI MCHEZONI, ODM

FAMILIA YA CHEPTEGEI YAWALAUMU POLISI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *