#Rugby #Sports WAMOTO AIPA KABRAS NAFASI YA KUTWAA ENTERPRISE CUP Kocha wa raga wa Chuo Kikuu cha Kibabii Peter Wamoto ameipa Kabras RFC nafasi kubwa ya kutwaa taji la Enterprise Cup katika Admin / 2 months Comment (0) (24)
#Rugby #Sports KRU YAWEKA MKAKATI WA KUIMARISHA RAGA YA WANAWAKE Mwenyekiti wa chama cha Raga nchini Harriet Okach amesema kuwa kujenga utamaduni imara na endelevu wa rugby ya wanawake ni kipaumbele cha Admin / 2 months Comment (0) (51)
#Rugby #Sports WACHEZAJI WAPYA WAPATA NAFASI KWENYE LIONESSES Mchezaji Maria Gorette wa Guins Queens anaongoza kundi la wachezaji wanane wapya walioitwa kwenye kikosi cha Kenya Lionesses kwa mashindano Admin / 2 months Comment (0) (47)
#Rugby #Sports KCB RFC WAELEKEZA DIRA 7S CIRCUIT BAADA YA KURAMBISHWA SUKARI Kocha mkuu wa klabu ya raga KCB RFC Andrew Amonde, amewahimiza vijana wake kuzika masaibu ya kupoteza kwenye fainali za Admin / 2 months Comment (0) (66)
#Rugby #Sports KCB YAPANIA KUKOMESHA UTAWALA WA KABRAS KENYA CUP KCB RFC wanaamini wana uwezo wa kukomesha ubabe wa Kabras RFC watakapokutana katika fainali ya Kenya Cup msimu wa 2025/2026 Admin / 2 months Comment (0) (47)
#Rugby #Sports FELIX OLOO AFARIKI KATIKA AJALI MAREKANI Kocha wa zamani wa Kenya Lionesses na mchezaji wa zamani wa Nakuru RFC Felix Oloo amefariki dunia baada ya kuhusika Admin / 2 months Comment (0) (108)
#Rugby #Sports KCB YAJIIMARISHA KABLA YA FAINALI KENYA CUP Klabu ya raga ya KCB RFC imeimarisha maandalizi yake kwa fainali ya dimba la Kenya Cup dhidi ya Kabras RFC Admin / 3 months Comment (0) (88)
#Rugby #Sports SHUJAA WAPANGWA KUNDI GUMU BAADA YA HONG KONG Timu ya taifa ya raga ya wachezaji 7 kila upande, Shujaa, imepangwa katika kundi jingine linaloonekana gumu katika mkondo ujao Admin / 3 months Comment (0) (124)
#Rugby #Sports SHUJAA WAANGUKIA AUSTRALIA KWENYE MECHI YA UFUNGUZI Timu ya taifa ya raga ya wachezaji saba Shujaa imeanza kampeni yake ya Hong Kong kwa kichapo cha alama kumi Admin / 3 months Comment (0) (76)
#Rugby KAKAMEGA HIGH WAJIPANGA KWA MASHINDANO YA RAGA YA WACHEZAJI SABA Kocha mkuu wa raga wa shule ya Kakamega High Amos Wamanga amesema timu hiyo sasa imehamisha mwelekeo wake kuelekea mashindano Admin / 3 months Comment (0) (86)