KEN LUSAKA ATISHIA KUWAFUTA MAAFISA WAZEMBE
Gavana wa kaunti ya Bungoma Ken Lusaka amewataka maafisa wote wa serikali ya kaunti yake kushirikiana ili kufanikisha miradi ya maendeleo.
Kulingana na gavana Lusaka malumbano baina ya mawaziri na maafisa wakuu katika wizara mbali mbali yamesababisha wananchi kukosa huduma muhimu huku akitishia kuwafuta kazi maafisa na mawaziri watakaozembea kazini.
Imetyarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































