#Business #Local News

HAKUNA KUPUNGUZA FEDHA ZA MAJANGA

Huku serikali ikishindwa kuwezesha baadhi ya familia zilizoadhiriwa na mafuriko kurejelea Maisha ya kawaida , mkaguzi wa hesabu za serikali Nancy Gathungu anakosoa mapendekezo ya serikali kupunguza bajeti ya kushughulikia majanga.


Akizungumza mbele ya kamati ya bajeti katika bunge la kitaifa hapo jana Gathungu amesema mpango wa kupunguza bajeti hiyo kwa zaidi ya shilingi bilioni 3 utatatiza mikakati ya serikali kukabili adhari za majanga kama vile mafuriko na ukame.

Imetayarishwa na: Janice Marete

WAPI CHANJO ZA WATOTO?

‘TULIPE USHURU TUJITEGEMEE’ ASEMA RUTO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *