#Athletics #Sports

WAPENI HUKUMU YA KIFO WASHUKIWA

Familia ya mwanariadha wa humu nchini ambaye alikua anakimbilia taifa la uganda Benjamin Kiplagat imeiomba mahakama kuwapa hukumu ya kifo washukiwa wawili wa mauwaji ya mwanariadha huyo.

Elizabeth chemweno ambaye ni mamake marehemu na ndugu zake wawili walieleza mahakama kwamba kama familia wanahangaika tangu kufariki kwa mwanariadha huyo ambaye wanasema alikua tegemeo lao.

Imetayarishwa na Nelson Andati

WAPENI HUKUMU YA KIFO WASHUKIWA

TUPE MUDA TENA

WAPENI HUKUMU YA KIFO WASHUKIWA

OLUOCH APONGEZA KIKOSI CHAKE

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *