#Local News

UPINZANI WATAKA LAGAT, AMIN WAKAMATWE

Naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat ameendelea kujipata chini ya shinikizo, viongozi wa upinzani wakimtaka Lagat Pamoja na mkurugenzi wa idara ya upelelezi wa jinai DCI Mohammed Amin wakamatwe na kufunguliwa mashtaka kuhusiana na mauaji ya bloga Albert Ojwang.

Viongozi hao akiwemo Rigathi Gachagua, Kalonzo Musyoka, Okiya Omtatah, na Eugene Wamalwa, wameitaka jamii ya kimataifa kuingilia kati kutatua changamoto za kiusalama humu nchini.

Aidha, Gachagua amedia uwepo wa kikosi maalum kilichobuniwa na Rais William Ruto kuendeleza utekaji nyara na mauaji.

Imetayrishwa na Antony Nyongesa

UPINZANI WATAKA LAGAT, AMIN WAKAMATWE

RAIS RUTO AUKEJELI UPINZANI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *