#Local News

SERIKALI YATANGAZA AFUENI MAU

Mzozo wa ardhi katika msitu wa Mau hatimaye umepata suluhu baada ya zoezi la upimaji wa msitu na kuweka mipaka baina ya msitu huo na ardhi ya wakazi kukamilika, wakazi sasa wakiratibiwa kupokezwa hatimiliki ndani ya muda wa wiki moja.

Tangazo hilo limewekwa wazi na katibu mkuu katika wizara ya ardhi Nixon Korir, akisisitiza kuwa serikali inajitahidi kumaliza vuta nikuvute za ardhi.

Ameyasema haya akiwa katika kaunti ya Baringo.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

SERIKALI YATANGAZA AFUENI MAU

USHIRIKIANO WA KENYA-FINLAND

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *