WACHANA NA WANAFUNZI

Shule zikitarajiwa kufunguliwa jumatatu wiki ijayo Waziri wa elimu Ezekiel Machogu amewaagiza walimu wakuu katika kaunti ya transnzoia kuwasilisha orodha ya majina ya walimu wakuu ambao wameongeza karo ya shule kinyume na muongozo wa wizara ya elimu ili waadhibiwe.
Vile vile machogu amewaagiza walimu wakuu kutowatuma nyumbani wanafunzi kwa kukosa sare rasmi za shule na karo.
English 



















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































