HONGERA KENYA KWA KUONGEZA KODI ZAIDI ; IMF
Shirika la kimataifa la fedha IMF limepongeza hatua ya serikali kuongeza kodi katika baadhi ya bidhaa na huduma mbali mbali katika mswada wa fedha.
Kwa mujibub wa IMF taifa la kenya litaongeza mapato yake na vile vile kuimarisha uchumi wake.
IMF aidha imesema serikali itaweza kutekeleza miradi ya maendeleo kupitia mapendekezo yaliyoko katika mswada huo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































