#Local News

JOPOKAZI LA KUCHUNGUZA DHULUMA LAAPISHWA

Kitendawili cha mauaji yanayokisiwa kuwalenga wanawake kinatarajiwa kuteguliwa hivi karibuni baada ya jopokazi la kuchunguza visa hivyo chini ya uwenyekiti wa aliyekuwa naibu jaji mkuu Nancy Barasa kuapishwa.

Mauaji hayo yameibua hofu nchini, takribani wanawake 170 wakiripotiwa kuuawa mwaka uliopita, katibu katika wizara ya usalama Raymond Omollo akilitaka jopokazi hilo kusaka suluhu mara moja.

Kwa mujibu wa ripoti iliyozinduliwa hapo jana, wanawake 100 waliuawa na watu wanaofahamiana nao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

JOPOKAZI LA KUCHUNGUZA DHULUMA LAAPISHWA

UN MBIONI KUREJESHA UTULIVU DRC

JOPOKAZI LA KUCHUNGUZA DHULUMA LAAPISHWA

WABUNGE WALALAMIKIA HUDUMA DUNI ZA SHA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *