#Local News

MJELEDI WA SHA WAANGUSHWA

Waziri wa afya Aden Duale amesema kuwa madaktari 12 wanachunguzwa kuhusiana na madai ya kuhusika katika ulaghai kupitia bima ya afya ya SHA.

Katika kikao na wanahabari, Duale amesema kuwa madaktari hao walitoa maelezo ya wagonjwa hewa ili kuilaghai bima hiyo ya afya.

Madaktari hao aidha wamepokonywa leseni ya kuhudumu na kesi hiyo imewasilishwa kwa idara ya uchunguzi wa jinai DCI kwa uchunguzi zaidi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

15 Proven Strategies to Win Big This

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *