WATOTO MILIONI 20 KUPEWA CHANJO DHIDI YA TYPHOID
Serikali inalenga watoto milioni 20 kote nchini katika kampeni ya kutoa chanjo ya kuzuia homa ya matumbo yaani typhoid pamoja na ugonjwa wa ukambi na surua.
Mkurugenzi wa afya Dkt Patrick Amoth anasema chanjo hiyo itatolewa kwa watoto walio kati ya miezi 9 hadi miaka 14.
Imetayarishwa na Maureen Mukhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































