#Local News

KARUA ASEMA ATAONGOZA KWA MUHULA MMOJA PEKEE

Kiongozi wa Chama cha People’s Liberation Party (PLP), Martha Karua, ametangaza rasmi azma yake ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027 akiahidi kwamba endapo atachaguliwa, atahudumu kwa muhula mmoja pekee.

Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Kitaifa wa chama hicho, Karua amesema uamuzi wake haujatokana na tamaa binafsi, bali ni kutokana na dhamira ya dhati ya kuhudumia umma na kurejesha imani ya Wakenya kwa taasisi za kidemokrasia.

Imetayarishwa na Cyrus Sifuna

KARUA ASEMA ATAONGOZA KWA MUHULA MMOJA PEKEE

UPINZANI WADAI NJAMA YA KUSAMBARATISHWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *