RUTO AWAJIBU WANAOMTAKA AONDOKE
Wanaomtaka rais William ruto kuondoka mamlakani wameshauriwa kutumia mbinu zinazokubalika kisheria.
Akizungumzia machafuko yaliyoshuhudiwa wakati wa maandamano ya jumatano rais William Ruto anasema katiba iko wazi kuhusu hatamu za uongozi na kuwataka wanaolenga kuchukua uongozi kuuza sera zao kwa wakenya na kusubiri wakati wa uchaguzi.
Imetayarishwa na Maureen Mukhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































