#uncategorized

ELIZABETH CHESANG TATU TENA

Mwenyekiti wa baraza la watu wenye ulemavu NCPD Elizaeth Chesang ameongezewa muda wa kuhudumu katika wadhfa huo kwa miaka mitatu Zaidi,


Chesang ambaye alipaswa kukamilisha muda wake wa kuhudumu tarehe mbili mwezi huu wa mei ameongezewa muda wa kuhudumu na rais William Ruto.


Kupitia kwa gazeti rasmi la serikali , chesang aliteuliwa tarehe 7mei mwaka huu na amekuwa akuhudumu kama mwenyekiti wa NCPD tangu juni tarehe 23 mwaka uliopita alipoteuliwa kuchukua nafasi ya Peter Muchiri ambaye uteuzi wake ulitwaliwa.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *