#Local News

WAKILI OMARI AOMBA MUKHWANA AACHILIWE KWA DHAMANA

Mawakili wa mmoja wa washukiwa katika kifo tata cha Albert Ojwang wakiongozwa na Danstan Omari wameitaka mahakama kumwachilia mshukiwa huyo James Mukhwana kwa dhamana.

Omari ameiambia mahakama kuwa afisa huyo wa polisi alijiwasilishwa baada ya kuhitajika na mamlaka ya Ipoa na kuwa yuko tayari kushirikiana na wanaoendesha uchunguzi.

Maafisa wa mamlaka ya Ipoa walikuwa wameomba kuzuiliwa kwa Mukhwana kwa muda wa siku 21 uchunguzi ukiendelea.

Imetayrishwa na Maureen Nyongesa

WAKILI OMARI AOMBA MUKHWANA AACHILIWE KWA DHAMANA

OCS WA CENTRAL AKAMATWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *