#Local News

GACHAGUA: MIMI NDIYE KIGOGO WA UPINZANI

Aliyekuwa naibu Rais Rigathi Gachagua ametanagaza kuwa ndiye yuko katika nafasi nzuri ya kuwa kigogo wa upinzani na kumenyana na Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu ujao.

Akizungumza katika jimbo la Boston nchini Marekani, Gachagua amesema ana uwezo wa kumfanya Rais Ruto kutochaguliwa kwa muhula wa pili.

Aidha, amefichua kuwa upinzani utaweka wazi atakayepeperusha bendera ya urais mwezi Disemba mwaka ujao.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

GACHAGUA: MIMI NDIYE KIGOGO WA UPINZANI

BONIFACE MWANGIAACHILIWA KWA BONDI

GACHAGUA: MIMI NDIYE KIGOGO WA UPINZANI

KESI YA MVUVI BRIAN YAAHIRISHWA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *