WATU 25 NDIO WALIAGA DUNIA 400 WAKIJERUHIWA; WAZIRI KINDIKI ASEMA
Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi prof Kithure Kindiki amepuuzilia mbali ripoti ya mashirika ya kutetea haki za binadamu kwamba watu 49 waliaga dunia na wengine 600 kujeruhiwa.
Katika mahojiano na kituo kimoja cha runinga humu nchini Kindiki amesema kuwa ni watu 25 pekee walioaga dunia na wengine 400 kujeruhiwa wakiwamo maafisa wa polisi 43.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 












































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































