#Football #Sports

KALULU AJIUNGA NA JUVENTUS

Beki wa Ufaransa Pierre Kalulu amejiunga na Juventus kwa mkopo wa msimu mzima kutoka AC Milan.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 ameichezea Milan mara 112 tangu aliposajiliwa mwaka 2020 baada ya kuhitimu kupitia akademi Lyon nchini ufaransa.

Juventus wana chaguo la kumnunua Kalulu kabisa mwisho wa mkopo wake.

Juve walianza kwa ushindi azma yao ya kunyakua taji la kwanza la Serie A tangu 2020 wikendi kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Como.

Imetayarishwa na Nelson Andati

KALULU AJIUNGA NA JUVENTUS

BADO NAPUMZIKA

KALULU AJIUNGA NA JUVENTUS

TUNAREJEA KWA KISHINDO

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *