NI NYUMBANI AU SERIKALINI? GACHAGUA KUJUA HATIMA YAKE HII LEO
Vikao vya kusikiliza na kuwahoji mashahidi katika hoja ya kumbandua mamlakani naibu wa rais Rigathi Gachagua inaendelea kwa sasa katika bunge la seneti.
Huku maseneneta wakitaka ufafanuzi zaidi kuhusiana na madai yaliyoibuliwa na mhasisi wa hoja hiyo.
Imetayarishwa na Janice Marete
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































