WATU 13 WAUAWA KATIKA MAANDAMANO

Watu 13 wamedhibitishwa kufariki dunia na wengine 150 kujeruhiwa katika maandamano huku mashirikia ya kutetea haki za binadamu yakiendeleza shutumu dhidi ya serikali kwa kutumia nguvu kupita kiasi.
Chama cha mawakili nchini LSK kikiongozwa na rais wao Faith Odhiambo kimeahidi kuwasaidia waadhiriwa wote kutafuta haki kwa wapendwa wao.
Hussein Khalidi mkurugenzi wa haki Afrika amesema kwamba kufikika jana watu kadhaa walikuwa wamethibitishwa kupigwa risasi na kuaga dunia.
Imetayarishwa na Janice Marete