#uncategorized

TUTAPANDA MICHE KILA SIKU KUANZIA JUMATATU

Rais William Ruto amesema Kwanzia jumatatu wiki ijayo shughuli ya upanzi wa miche itakuwa ikifanyika kila siku.


Akihutubu baada ya kuongoza hafla ya upanzi wa miti kwenye msitu wa kiambichu wa maragua kaunti ya muranga , rais Ruto amedokekla kuwa Waziri Musalia Mudavadi ataongoza shughuli hiyo ya upanzi wa miche jumatatu hiyo.

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *