#Local News

CHANJO ZAWASILI NCHINI

Ni afueni kwa wakenya na hasa kina mama walio na watoto baada ya kuwasili kwa chanjo aina ya BCG na ile ya Polio zilizokuwa zimeripotiwa kupungua nchini.

Katibu katika wizara ya afya Dkt Ouma oluga amepokea dozi milioni 3.2 za chanjo ya Polio na nyingine milioni 3 za BCG.

Imetayrishwa na Maureen Amakhobe

CHANJO ZAWASILI NCHINI

BAO LA BELLINGHAM LAFUTILIWA

CHANJO ZAWASILI NCHINI

MAKADIRIO YA BAJETI YA 2025-26

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *