CHANJO ZAWASILI NCHINI
Ni afueni kwa wakenya na hasa kina mama walio na watoto baada ya kuwasili kwa chanjo aina ya BCG na ile ya Polio zilizokuwa zimeripotiwa kupungua nchini.
Katibu katika wizara ya afya Dkt Ouma oluga amepokea dozi milioni 3.2 za chanjo ya Polio na nyingine milioni 3 za BCG.
Imetayrishwa na Maureen Amakhobe
English 





















































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































































