#Local News

WAKENYA WALIOHUKUMIWA KIFO UGHAIBUNI KUREJESHWA, SERIKALI

Serikali imeimarisha juhudi za kuwarejesha nchini wakenya wasiopongua 1,000 wanaokabiliwa na hukumu ya kifo katika mataifa mbali mbali.

Haya ni kwa mujibu wa mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi, akizungumza baada ya kukutana rasmi na Stephen Munyakho, aliyerejea nchini baada ya kuponea hukumu ya kunyongwa nchini Saudi Arabia.

Mudavadi amekiri kuwepo kwa changamoto kuwarejesha nchini wakenya hao ila akasisitiza kuwa serikali inajitahidi.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKENYA WALIOHUKUMIWA KIFO UGHAIBUNI KUREJESHWA, SERIKALI

MAHANGAIKO YA MAFURIKO TRANS NZOIA

WAKENYA WALIOHUKUMIWA KIFO UGHAIBUNI KUREJESHWA, SERIKALI

MAADALIZI YA CHAN YAKAMILIKA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *