SERIKALI YATENGA MILIONI 500 KUWAFIDIA WAADHIRIWA WA MRADI WA BWAWA LA WACHE HUKO KWALE

Waziri wa maji Erick Muga anasema kuwa serikali imetenga shilingi milioni 500 kuwafidia waathiriwa wa utekelezwaji wa mradi wa bwawa la mwache kaunti ya kwale.
Muga ameweka wazi kwamba kuchelewa kwa mchakato huo kum esababishwa na ulipaji wa fidia kwa waadhiriwa.
Imetayarishwa na Janice Marete