#Local News

WAKAZI WA MAGHARIBI WATOA UJUMBE WA RAIS RUTO

Ziara ya Rais William Ruto katika eneo la Magharibi mwa nchi imeendelea kwa siku ya pili huku wakazi wakimtaka Rais kutimiza ahadi zake kuhusu utekelezaji wa miradi eneo hilo.

Baada ya kikao na viongozi wa eneo hilo kwenye Ikulu ndogo ya Kakamega, Rais anatarajiwa kuongoza uzinduzi wa mradi wa kusambaza umeme mashinani katika eneo bunge la Shinyalu.

Hata hivyo, wakazi wamelalamikia kukwamba kwa baadhi ya miradi iliyozinduliwa na serikali kuu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

WAKAZI WA MAGHARIBI WATOA UJUMBE WA RAIS RUTO

SUSWA: IPOA YAAHIDI HAKI KWA WAATHIRIWA

WAKAZI WA MAGHARIBI WATOA UJUMBE WA RAIS RUTO

MGOMO: WAGONJWA WAILILIA SERIKALI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *