#Local News

WANAFAMILIA WANNE WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LINALOSHUKIWA LA UCHOMAJI

Watu wanne wa Familia moja wameangamia katika ajali ya moto baada ya nyumba yao kuteketea huko Entara, Kaunti ya Kajiado alfajiri ya leo, katika shambulio linaloshukiwa la uchomaji moto.

Taarifa zinasema kuwa tukio hilo limetokea majira ya saa tisa asubuhi ya leo.

Familia hiyo, iliyojumuisha wanandoa na watoto wawili, wameteketezwa kiasi cha kutotambulika kabla ya moto huo kuzimwa na wakaazi wa eneo hilo.

Imetayarishwa na Janice Marete

WANAFAMILIA WANNE WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LINALOSHUKIWA LA UCHOMAJI

RUTO AVUNJA BARAZA LA MAWAZIRI

WANAFAMILIA WANNE WAUAWA KATIKA SHAMBULIO LINALOSHUKIWA LA UCHOMAJI

KARANI WA BUNGE LA HOMA BAY ASIMAMISHWA KAZI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *