#Local News

AFUENI: MATABIBU WASITISHA MGOMO

Ni afueni kwa wanaosaka huduma za kimatibabu katika hospitali za umma baada ya maafisa wakliniki kusitisha mgomo wao kwa siku 21 ili kupisha mazungumzo kuhusu malalamishi yao.

Katika taarifa kwa wanahabari, katibu mkuu wa muungano wa maafisa hao George Gibore hata hivyo, amesema mgomo huo utaendelea katika kaunti za Kwale, Vihiga, Uasin Gishu na Lamu.

Aidha, wamesisitiza kwamba ni sharti mkataba wakurejea kazini wa mwaka jana utekelezwe kikamilifu.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

AFUENI: MATABIBU WASITISHA MGOMO

RUTO AWAKEMEA WANAOPINGA SHA

AFUENI: MATABIBU WASITISHA MGOMO

KENYA POLICE YASHINDA MARA SUGAR NA KUREJEA

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *