#Local News

NYORO: LISHE SHULENI INGALIPO

Mwenyekiti wa kamati ya bajeti katika bunge la kitaifa Ndindi Nyoro, amewahakikishia Wakenya kwamba mpango wa lishe shuleni ungalipo na kwamba serikali imetenga shilingi bilioni 3 kuwezesha mpango huo katika awamu ya kwanza.

Kauli yake imejiri baada ya kubainika kwamba hazina ya kitaifa imeondoa mpango huo kwenye makadirio ya bajeti ya mwaka wa kifedha wa 2024-2025, na kuzua mjadala mkali huku wakenya wakiishutumu serikali kwa madai ya kutowajali watoto.

Aidha, Nyoyo amesema kamati yake imetoa fedha za kutosha kufanikisha zoezi la kuwaajiri walimu wa JSS.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

NYORO: LISHE SHULENI INGALIPO

OMTATAH MAHAKAMANI KUHUSU WADHIFA WA CAS

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *