#Local News

ODM: ENZI BABA KWA KUTEKELEZA AJENDA ZAKE

Viongozi wa chama cha ODM wamemtaka Rais William Ruto kutekeleza ajenda 10 zilizo kwenye mktaba wa maelewano uliotiwa Saini na Rais na aliyekuwa kinara wa ODM Raila Odinga, wakisema ndiyo njia mwafaka ya kumuenzi Odinga.

Kwenye mahojiano na kituo kimoja cha runinga, naibu mwenyekiti wa ODM Godfrey Osotsi, amesema ajenda hizo zinawakilisha maslahi ya mwananchi wa kawaida, ambaye alitetewa na Odinga kila mara.

Miongoni mwa ajenda hizo ni fidia kwa waathiriwa wa dhuluma za polisi wakati wa maandamano.

Imetayarishwa na Antony Nyongesa

ODM: ENZI BABA KWA KUTEKELEZA AJENDA ZAKE

TANZANIA YAMULIKWA KWA UKIUKAJI

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *