#Local News

UTEUZI WA MWAURA KRA WABATILISHWA

Mahakama kuu imefutilia mbali uteuzi wa Anthony Mwaura kuwa mwenyekiti wa mamlaka ya ukusanyaji ushuru KRA ikitaja uteuzi huo uliofanywa na Rais William Ruto kuwa kinyume na katiba.

Katika uamuzi huo, jaji Francis Gikonyo amesema uteuzi huo ni kinyume na sura ya 6 ya katiba kuhusu maadili kwani Mwaura anakabiliwa na kesi ya ufisadi inayohusu shilingi milioni 357.

Kesi ya ufisadi dhidi yake iko mahakamani.

Imetyarishwa na Antony Nyongesa

UTEUZI WA MWAURA KRA WABATILISHWA

JINSI KHALISIA ALIVYOANZA KUWAUA WANAWAKE

UTEUZI WA MWAURA KRA WABATILISHWA

RUTO KUWARUDISHA VIJANA ‘MITAANI’

Leave a comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *